Advertisement

Responsive Advertisement

TAZAMA VIDEO NA UMSIKILIZE SHILOLE AKISIMULIA JINSI ISHU YAKE YA KUBAKWA.




Akitamba na vibao vyake kama “Paka La Bar”, “Nakomaa na Jiji”, pamoja na ngoma yake mpya iitwayo ”Chuna Buzi”,
mwanadada Shilole ambaye ni muimbaji, muigizaji na pia ni mama wa watoto wawili, amefunguka kuhusu maisha yake jinsi alivyopambana mpaka kufikia hapo alipo, harakati zake za kimuziki, na misukosuko iliyompata kupitia kipindi cha televisheni maarufu kama Sporah Show…
VIDEO clip ya tukio hii hapa chini...

bofya hapa chini kuona  video ......

Post a Comment

0 Comments