Advertisement

Responsive Advertisement

MAPENZI: NAPENDA KUDATE NA WANAUME MAARUFU TU, WASIO NA JINA HAPA KWANGU TAKATAKA

Hii kitu imenitokea sana mara nyingi. 

Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa ktk mahusiano na mwanaume maarufu najickia nipo salama sana hata kama hanisaidii chchte nainjoy mbaya kuliko nikiwa na mtu aso na jina hapa town. 

Tatz nikiwa na mtu hata kama ananijali na anasifa zote lkn hana jina nakuwa mnyonge simfurahii
Nawezaje kuondokana na hili tatizo.

Post a Comment

0 Comments