Advertisement

Responsive Advertisement

Staa wa Bongo Fleva aliyemvisha mpenzi wake Pete

.
.
Hitmaker wa single ya Wahalade ‘Barnaba Elias’ amefungua ukurasa wa maisha baada ya kumvisha pete Mama wa Mwanaye  Mama Steve .Baadhi ya mastaa waliohudhuria kwenye party hiyo akiwemo Kajala,Navy Kenzo,Vanessa Mdee na wengineo Club 327 Dar es Salaam.
.
.
.
.
.
.
.
.
.
.

Post a Comment

0 Comments