Advertisement

Responsive Advertisement

T.I.D ALALA POLISI BAADA YA KUTOKEA UGOMVI NA MPENZI WAKE...!!


T.I.D akiwa na mwanamke ambaye siye anayetajwa

Kwa mujibu wa taarifa zilizoifikia Dunia Kiganja Blog hii hivi punde ni kwamba mwanamuziki wa kizazi kipya T.I.D Mnyama yuko mikononi mwa polisi baada ya kutokea ugomvi baina yake na Mpenzi wake ambaye jina lake halikufahamika mara moja.
T.I.D kwa sasa anachukuliwa maelezo katika kituo cha polisi Ostyabey jijini Dar es Salaam baada ya kulala kituoni hapo  baada ya kutokea mtafaruku huo.

Taarifa na Chanzo chetu Dar es Salaam

Post a Comment

0 Comments