Advertisement

Responsive Advertisement

UJIO MPYA WA OMMY DIMPOZ BAADA YA TUPOGO,!!!!

Ommy Dimpoz a.k.a Poz kwa poz ameamua kuwaonjesha kionjo cha wimbo wake mpya unaokuja ambao video yake imefanywa nchini Marekani
Na producer mkali nchini humo. 


Kupiti Account yake ya Instagram Ommy dimpoz aliweka kionjo cha Video hii na kusema ndio cha wimbo huo unaosubiriwa na Wapenzi wa Muziki wa Bongo fleva Kwa Hamu Kubwa.

Post a Comment

0 Comments