Advertisement

Responsive Advertisement

JAMAA HUYU ALIYEKUFA NA KUZIKWA AIBUKA AKIWA HAI, SIKILIZA AKISIMULIA ILIVYOKUWA


Unaweza kudhani labda ni simulizi za kusisimua ambazo pengine huwa nyingi zinaishia kuandikwa tu kwenye majarida na makala mbalimbali lakini hii ni tofauti mtu wangu,unaambiwa huyu jamaa alifariki na ndugu zake wakaenda kuuchukua mwili wake kisha kuuzika kwa heshima zote.
Sasa inshu imekuja jamaa amerudi na tatizo limekua hakuna anayemuamini hadi mke wake kamkimbia na kaburi lake lipo kinachoshangaza ni mpaka hitma wameshakamilisha

Post a Comment

0 Comments