Advertisement

Responsive Advertisement

PICHA 6 ZA AJALI YA DALALA ILIYOUA WATU ZAIDI YA 10 JANA JIJINI DAR

Magari mawili aina ya Coaster yanayosafririsha abiria kati ya Mwenge, Tegeta na Mbezi jiijini Dar, yamegongana na na kuua abiria wanaokadiriwa kufikia zaidi ya 10.
 
Ajali hiyo imetokea mchana huu eneo la Makongo. Mashahuda wa ajali hiyo wamesema kuwa uzembe uliofanywa na dereva wa daladala iliyokuwa ikitoka Tegeta ndio uliosababisha ajali hiyo kwani alipita upande usio wake.
2 3 4 5 6

Post a Comment

0 Comments