Advertisement

Responsive Advertisement

PICHA:BABU SEYA NA MWANAYE PAPII KOCHA WALIPOTUMBUIZA KWENYE MAADHIMISHO YA MAGEREZA DAY



Msanii Nguza Viking (kulia) na Mwanae Jonson Nguza Maarufu kwa jina la Papii Kocha ambao wanatumikia Kifungo chao kwenye Gereza la Ukonga jijini Dar, wakiwa na Bendi ya Wafungwa wakiimba Wimbo Maalum kuhusu Urekebishaji wa Wafungwa unavyofanyika Magerezani…
Wanamuziki hao walitumbuiza katika Maadhimisho ya Magereza Day yaliyofanyika Juni 20, 2014 katika Viwanja vya Chuo cha Maafisa Magereza Ukonga.

Post a Comment

0 Comments