Advertisement

Responsive Advertisement

Picha: WASANII WATAKAODONDOSHA BURUDANI FIESTA KAHAMA WAPIGWA INTERVIEW NDANI YA KAHAMA FM REDIO

Baada ya wasanii kuwasili ndani ya wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga siku ya jana, leo hii wamepata nafasi ya kufanya mahojiano na redio ya Kahama inayoitwa Kahama Fm.

Baada tu ya kusalimiana na watangazaji wa Redio hiyo , Ally Tizee na Dj Rammi, watangazaji hao wakiwapisha Fetty na Bdozen na kuwaacha wakiendelea na interview hiyo ambayo walipiga story na wasanii wote wanaofanya show siku ya leo usiku..





















Post a Comment

0 Comments