Advertisement

Responsive Advertisement

SNURA AMWANIKA BABA WA MTOTO WAKE...!!!!!!!!!!!!



Kwa  mara ya kwanza msanii wa muziki na filamu Bongo,Snura Mushi amemwanika baba wa mtoto wake na  kusema ndiye mumewe mtarajiwa wa kufa na kuzikana.


Pichani ni msanii wa muziki na filamu Bongo, Snura Mushi pamoja na baba "Hunter" wa mtoto wake wa kike.

Akipiga stori na Ijumaa, Snura alisema baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu kutokana na ugomvi mkubwa waliokuwa nao yeye na mwanaume wake huyo liyemtaja kwa jinamoja la Hunter, hivi sasa wamemaliza tofauti zao.

Mume mtarajiwa wa Snura akingusha pozi.

Alisema japo kuwa zamani aliapa kutorudiana naye baada ya kumuacha akiwa mjamzito, sasa mambo ni shwari kwani amesharekebisha tofauti zao na ndoa inanukia.

“Hunter ni mume wangu, nampenda na yeye nanipenda, kwasasa yupo Mbeya kikazi ila siku akiwa mapumzikoni huja Dar na mimi wakati wingine namfuata hukohuko, siku si nyingi tutafunga ndoa,” alisema Snura.

Post a Comment

1 Comments