Advertisement

Responsive Advertisement

Bob Junior Amkumbuka Mkewe Aliyemwacha…Asema Kuondoka Kwake

Bob
Mapenzi ni kitu Kingine Jamani Acheni tu, Unaweza kumuona leo hafai ile kesho ukamlilia yule yule uliesema hafai..
 
Kama mnakumbuka wakati Bob Junior anaachana na mke wake aliongea mengi tu ikiwemo ameamua kila mtu achukua zake kwa vile Mwanamke anawivu sana na kumfutilia kila mahali…
 
.ila sasa Bob Junior anajutia Kitendo hicho na kusema amemmisi sana na yupo mpweke na amekiri kuwa yule mwanamke ndio aliyemfundisha mapenzi, leo hii anakula vibandani….Mzee mzima mpaka ameamua kumtungia wimbo akimlilia basi ujue kiukweli anataka warudiane…..
 
Tujifunze kwa hili Raha za muda Mfupi zisikufanye uisahau familia na kuona haina thamani….Wakati ndoa ya Bob inavunjika alijitokeza dada Mmoja (Toto Ashley) na Kudai Anatoka nae Haya Leo yupo Wapi….(Tusamini Familia Zetu)

Post a Comment

0 Comments