Advertisement

Responsive Advertisement

UKATILI! Picha za Sister wa Kanisa Katoliki alivyouawa kikatili na Majambazi Ubungo Jijini DAR

1
SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu, Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi Leo.


Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hay0


Wananchi wakiwa eneo la tukio.
                          Wananchi wakiwa eneo la tukio.
2 3

Post a Comment

0 Comments