Advertisement

Responsive Advertisement

Uruguay yawa nchi ya kwanza duniani kuhalalisha uuzaji na utengezaji wa bangi.

Uruguay yawa nchi ya kwanza duniani kuhalalisha uuzaji na utengezaji wa bangi


Chini ya sheria hiyo mpya, bei ya gram moja ya bangi itakuwa ni dola 1 tofauti $1.40 kwenye soko haramu.
Uuzaji na utengenezaji wa bangi utaratibiwa na mamlaka itakayowekwa na serikali itakayoangalia database ya wananchi wenye umri unaoruhusiwa kutumia bangi.

Post a Comment

0 Comments