WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari Erikisongo wilayani Monduli wamenusurika kifo baada ya vyumba vitano vya mabweni yao kuteketea na moto leo asubuhi.
Moto huo ambao inaelezwa chanzo chake ni hitilafu ya umeme ulizuka
wakati wanafunzi hao wakiwa darasani. Hakuna mtu yoyote aliyedhurika
lakini mali kadhaa za wanafunzi zimeteketea.
0 Comments