| katika mtanda wake wa fabebook msanii Nasibu Abdul DIAMOND alitoa maneno haya >>>''Ndugu
zangu! nafkiri ni Muda wa kubadilika sasa...Tuacheni fikra potofu, za
Kipuuzi na ukatili Usio na Maana.. Hivi inamaa unataka kuniambia na hao
kina Bill gates Mzee wa kuku, Carlos Slim, Amancio Ortega , Bakhresa na
Matajiri wakubwa Duniani pia Walitajirika kupitia Ukatilii huu wa Ma
Albino...??? Juhudi na Utendaji wako wa Kazi ndio utao kufanya Uendelee
na kufikia Hayo Malengo unayoyataka... Tuache kujidanganya na Kuwatesa
Ndugu zetu wasio na Hatia''..... |
0 Comments