Advertisement

Responsive Advertisement

Breaking News!! MBUNGE WA CHADEMA ANUSURIKA KUFA BAADA YA HELIKOPTA YAKE KUPOTEA KWENYE MAWINGU NA KUNASA KWENYE MTI



Habari tulizozipata hivi punde ni kwamba mbunge wa Chadema Joshua Nassar amenusurika kufa baada ya Helkopta aliyokuwa anaitumia kusafiria kwenye jimbo lake kuanguka kunasa kwenye mti baada ya kupotea kwenye mawingu.

Hata hivyo dereva wa mbunge huyo amesema mbunge huyo na rubani wake wako hospitali na walitoka salama katika helkopita hiyo.

Taarufa kamili tunawaletea hivi punde........

Chanzo-ITV

Post a Comment

0 Comments