Na Bashir Yakub
Kwa wale ambao tayari wana hati za majumba au viwanja wanajua wazi kuwa hati hizo zimeandikwa muda maalum, tofauti
na wengi wanavyofikiria hasa wale ambao pengine hawajamiliki
ardhi au wanamiliki ardhi lakini hawamiliki nyaraka hii.
Hati unayopewa ina muda maalum wa kuishi. Sio kweli kwamba ukishapata hati basi ndio umemaliza, hapana.
Kama
ilivyo kwa bidhaa nyingine au nyaraka nyingine kwa mfano
leseni za kuendeshea vipando vya moto ambazo huisha muda (expire)
ndivyo ilivyo kwa hati za nyumba/viwanja pia ambazo nazo huisha
muda wake ( expire).

0 Comments