Advertisement

Responsive Advertisement

MAGUFULI KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI KISAYANSI

 
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli(katikati) akiwanadi Mbunge wa Handeni Mjini Dk. Abdallah Kigoda (kulia) na Mgombea wa Ubunge Jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uliofanyika kwenye uwanja wa Azimio Center.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimkabidhi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni mjini Dk. Abdallaha Kigoda.
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Handeni Vijijini Ndugu Mboni Mhita.Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akisoma bango la vijana wafanya biashara ndogo ndogo wa eneo la Dumila maarufu kama Feri wakati akielekea mkoani Tanga ikiwa muendelezo wa mikutano ya kampeni za CCM .
 Wananchi wanaoishi eneo la Dumila wakimsikiliza Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli 
 Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuliakimnadi mgombea wa ubunge jimbo la Mvomero Sadiq Murad kwenye mkutano wa kampeni za CCM uliofanyika Mvomero, mkoani Morogoro.
 Wanachama wa CCM wakionyesha mabango ya mgombea wao wa Ubunge Ndugu Sadiq Murad kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye uwanja wa Kihalawa,Turiani mkoani Morogoro.
 Mzee Yusuph Makamba akihutubia wakazi wa Turiani mkoani Morogoro kwenye mkutano wa kampeni za kumnadi mgombea wa CCM pamoja na sera za CCM kwa wananchi wa Turiani.
 Kikundi cha akina mama wahamasishaji kikiingia uwanjani kwenye eneo la mkutano wa kampeni za CCM Turiani ambapo Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli alihutubia.

Post a Comment

0 Comments