Advertisement

Responsive Advertisement

BREAKING NEWZZZ>>>BINTI WA MIAKA 17 AUAWA KWA KUKATWA MAPANGA SHINYANGA VIJIJINI

Pichani ni binti huyo akiwa ameuawa na watu wasiojulikana
Habari tulizozipata kutoka Shinyanga Vijijini ni  yametokea mauaji katika kijiji cha Solwa wilayan Shinyanga ambapo binti anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 17 amekutwa amekatwa katwa mapanga na kufariki papo hapo usiku wa kuamkia leo alhamis Februari 19,2015.

credit ..malunde blog
    
Taarifa kamili tutawaletea baadaye kidogo,tafadhali endelea kutembelea Bongo na matukio blog....

Post a Comment

0 Comments