Advertisement

Responsive Advertisement

Matokeo ya Arsenal vs Manchester United yasikupite

Arsenal imetinga nusu fainali ya kombe la FA baada ya kuitandika Manchester united magoli 2-1 kwenye uwanja wa Old Trafford usiku wa kuamkia leo. roon3  Mchezaji wa zamani wa Man united Danny Welbeck aliifungia Arsenal bao la ushindi katika dakika ya 61.
roon4Awali Arsenal ndio walikuwa wa kwanza kupata bao katika dakika ya 25 ya mchezo kupitia kwa mshambuliaji wao Nacho Monreal na baadaye Man u kusawazisha dakika ya 29 kupitia kwa nahodha wao Wayne Rooney kabla ya Welbeck kuhitimisha ushindi.
roon5Angel Di Maria alitolewa nje kwa kadi nyekundu dk77 baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano kwa kumsukuma Michael Oliver.
di

Post a Comment

0 Comments