Linex kwenye kolabo hii amesema kuwa haikuwa imepangwa yaani ni miongoni mwa kolabo ambazo yeye na Diamond haikupangwa,Diamond aliukuta wimbo studio akaupenda akamfahamisha Linex wakaamua kufanya kwa pamoja singo inaitwa Salima,hii ni singo ya pili kwa Linex kufanya na Diamond baada ya ile ya kwanza iliyoitwa Nitaificha wapi.
Bonyeza play kutazama wimbo huu.
IBRAHIMOVIC ADAI
CHELSEA WALIKUWA KAMA WATOTO WAKISHADADIA KUTOLEWA KWAKE.
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Paris Saint-Germain-PSG, Zlatan Ibrahimovic
amesema wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio
ambalo lilipelekea kutolewa nje kwa kadi nyekundu. Nyota huyo wa
kimataifa wa Sweden alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo
Oscar katika dakika ya 31 ya mchezo lakini PSG walifanikiwa kuwang’oa
Chelsea katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kutoka nao sare ya
mabao 2-2. Ibrahimovic amesema wakati akipewa kadi nyekundu wachezaji
wote wa Chelsea walikuja kumzunguka hivyo akaona kama amezungukwa na
watoto wengi. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa alivyopata kadi hiyo
ilimchanganya kwakuwa hakuitegemea hususani kwa muda ule lakini
anashukuru wachezaji wenzake waliendelea kucheza bila kukata tamaa na
mwisho matokeo yakawa upande wao.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
IBRAHIMOVIC ADAI
CHELSEA WALIKUWA KAMA WATOTO WAKISHADADIA KUTOLEWA KWAKE.
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Paris Saint-Germain-PSG, Zlatan Ibrahimovic
amesema wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio
ambalo lilipelekea kutolewa nje kwa kadi nyekundu. Nyota huyo wa
kimataifa wa Sweden alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo
Oscar katika dakika ya 31 ya mchezo lakini PSG walifanikiwa kuwang’oa
Chelsea katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kutoka nao sare ya
mabao 2-2. Ibrahimovic amesema wakati akipewa kadi nyekundu wachezaji
wote wa Chelsea walikuja kumzunguka hivyo akaona kama amezungukwa na
watoto wengi. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa alivyopata kadi hiyo
ilimchanganya kwakuwa hakuitegemea hususani kwa muda ule lakini
anashukuru wachezaji wenzake waliendelea kucheza bila kukata tamaa na
mwisho matokeo yakawa upande wao.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
IBRAHIMOVIC ADAI
CHELSEA WALIKUWA KAMA WATOTO WAKISHADADIA KUTOLEWA KWAKE.
MSHAMBULIAJI wa klabu ya Paris Saint-Germain-PSG, Zlatan Ibrahimovic
amesema wachezaji wa Chelsea walijifanya kama watoto wakati wa tukio
ambalo lilipelekea kutolewa nje kwa kadi nyekundu. Nyota huyo wa
kimataifa wa Sweden alitolewa nje kwa kadi nyekundu kwa kumchezea faulo
Oscar katika dakika ya 31 ya mchezo lakini PSG walifanikiwa kuwang’oa
Chelsea katika michuano ya Ligi ya Mabingwa Ulaya kwa kutoka nao sare ya
mabao 2-2. Ibrahimovic amesema wakati akipewa kadi nyekundu wachezaji
wote wa Chelsea walikuja kumzunguka hivyo akaona kama amezungukwa na
watoto wengi. Nyota huyo aliendelea kudai kuwa alivyopata kadi hiyo
ilimchanganya kwakuwa hakuitegemea hususani kwa muda ule lakini
anashukuru wachezaji wenzake waliendelea kucheza bila kukata tamaa na
mwisho matokeo yakawa upande wao.
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
0 Comments