Advertisement

Responsive Advertisement

BREAKING NEWS>>PRESHA YAPANDA DODOMA MJUE MGOMBEA URAISI WA CCM


Katika hali isyokuwa ya kawaida jana Bunge limelipuka kwa furaha kubwa sana pale Rais JK aliyekuwa analiaga na kulivunja bunge alipomtaja mgombea wa sasa wa Urais Waziri Mkuu mstaafu Lowasa,
hali hiyo imewaacha watabiri wa siasa nchini kubaki solemba na kinachokuja kwenye mchujo wa wagombea huko ndani ya CCM Dodoma sasa hivi.






Solomon G. Kadanga aissee lowassa ni rais mtarajiwa...dalili zimeonekana..
Like · Reply · 1 · 33 mins
Hellen Lyimo Wewe hiyo maneno ya kumtoa panya pangoni . Lowasa oyeeeeeeeeeee
Like · Reply · 31 mins · Edited
Benjamin Mbossa nimeona aisee sjui wanaanzaje kumkata
Like · Reply · 1 · 31 mins
Lilly Mbaga Nisingeelewa kitu daaah presha ina pandan.....presha ina shuka acha nifuturu sasa afadhali
Like · Reply · 1 · 23 mins
Mary Mkoka NIKO NASIKILIZA BUNGE.
AISEE LOWASA AMEFUNIKA .
MAKOFI YÀ NGUVU YAMIMINIKA KWA LOWASA BAADA YA KIKWETE KUMSHUKURU LOWASA
Like · Reply · 22 mins
Kiango Mayweather Embu adisieni vizuri jamani wengine tuko mbali
Like · Reply · 22 mins
Mjuni Charles kweli nimeamini!
Like · Reply · 21 mins

TZtv Outlaw Benjamin, Ndio maana inaitwa SIASA maana ya siasa ni Uongo, Kudangaya, Ahadi zisizotimia na Kujinufaisha mwenyewe. Mwanasiasa akipata upenyo kidogo tu anamkata mwenzie hata kama ni rafiki yake. It is called POLITICS my friend, haina guarantee.

masamablog

Post a Comment

0 Comments