Siasa zinaendelea kugusa headlines za
habari kubwa kila siku, leo ninayo hii post nyingine kwa ajili yako mtu
wanguvu.. hii inahusu Chama cha CCM ambapo Rais Kikwete akiwa
ameongozana na baadhi ya viongozi wa Chama hicho ikiwemo Abdulrahman Kinana, Mkuu wa Mkoa Dar Said Meck Sadick, pamoja na Mgombea Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufuli na Mgombea Mwenza Samia Suluhu Hassan.
Hapa ninazo pichaz kutoka Ukumbi wa
Diamond Jubilee Dar es Salaam ambapo Rais JK na Mgombea Urais Dk.
Magufuli wamekutana na kuongea na Wazee wa Dar es Salaam.
0 Comments