![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh7J7yrkRsGoa23K2fq4yho2ABv5zwqFNIF0FDlejLR_jHvlhdwRCa4DR0xpBta2VE3uvCIdJAe5-O3pXFzdgT1ZyOr5_MTPwdBgK5xdLYR1VApnVH1b-sEpN2i8d01ENP2jC1KQzCp47dU/s640/WEMASEPETU.jpg)
BEAUTIFUL Onyinye, Wema Sepetu ameendelea ‘kutibua’ hali ya hewa kwa kukiuka maadili ambapo kwa mara nyingine tena ametupia picha mtandaoni zikimuonesha akiwa amevaa mavazi yaliyoacha wazi baadhi ya sehemu nyeti za mwili wake.
“Mh! Huyu Wema na hivi vivazi vyake vya nusu utupu hajambo, sijui anajisikiaje kuvaa vile…hata kama atasema ni kutokana na hali ya joto lakini hii sasa imezidi, huko ni kuwatega wanaume,” aliandika mdau mmoja aliyejitambulisha kwa jina la Mwanaidi.
0 Comments