Advertisement

Responsive Advertisement

MAKUBWA..!! MBUZI AZALIWA NA KICHWA CHA BINADAMU, SOMA NA KUTAZAMA PICHA HAPA


Tukio hili la kustahajabishA lilitokea nchini kenya ambapo mbuzi katika hali ya kushangaza alizaa kitotoambacho kiwiliwili ni cha mbuzi na kichwa ni cha
binadamu, tukio hilo liliza gumzo miongoni mwa wanakijiji waliohudhuria tukio hilo kkwani wengi wanasema ni tukio la kwanza kutokea mtaani hapo, wengi wao walikiushisha kitendo hicho na imani za kishirikina huku wengine wakidai ni miujiza tu ya mwenyezi mungu, hata hivyo kimwanambuzi hicho kilifukiwa kwani tayari kilikua kimeshafariki




TOA MAONI YAKO HA

Post a Comment

0 Comments