Advertisement

Responsive Advertisement

UKAWA Yaitaka Polisi Kuzuia Mikutano ya Kinana Nchini


ukawa
UMOJA wa Katiba ya Wananchi “Ukawa” wamemtaka Mkuu wa Jeshi la  Polisi nchini,  kuzuia mikutano ya Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana,  kama alivyozuia mikutano na maandamano ya vyama vya siasa  vinavyoundwa  na Ukawa.

Hayo yamezungumzwa na Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Lissu wakati akizungunmza na waandishi wa habari leo, makao makuu ya chama hicho, Kinondoni jijini Dar es Salaam .
 
Aidha umoja huo umetoa tamko juu ya amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu mamlaka ya Bunge Maalum la Katiba kwa kumuunga mkono Saed Kubenea  aliyekuwa amefungua kesi ya kuitaka
 
Mahakama Kuu itoe ufafanuzi wa mamlaka ya bunge hilo  kwa mujibu wa kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko ya katiba, sura ya 83 ya sheria za nchi yetu.
 Baadhi ya viongozi wa Ukawa, kuanzia kushoto ni Tundu Lissu, Freeman Mbowe, Prof.  Ibrahim Lipumba  na John Mnyika.


Post a Comment

0 Comments